Wimbi La Siasa
Matukio makubwa ya kisiasa yaliyotikisa Afrika Mashariki na Kati mwaka 2025
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:20
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Matukio makubwa ya kisiasa tuliyochambua mwaka 2025 ni pamoja na kifo cha aliyekuwa mwanasiasa mashuhuri nchini Kenya Raila Odinga, uchaguzi wenye vurugu uliofanyika nchini Tanzania Oktoba 29 na kutiwa saini kwa mkataba wa kumaliza vita Mashariki mwa DRC, Desemba 04, jijini Washington DC nchini Marekani.