Siha Njema
Mabadiliko ya tabia nchi yanayovyochochea magonjwa ya milipuko
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:08
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Tafiti zimeonesha kuwa magonjwa mengi ya milipuko haswa barani Afrika yanachochewa na mabadiliko ya tabia nchi Mafuriko ,ukame au kupanda joto yanaweza kusababisha kusambaa kwa haraka kwa vimelea vinavyosababisha magonjwa au kuzaana kwa haraka.