Sbs Swahili - Sbs Swahili
Australia yafafanuliwa:Umoja wa mataifa wachunguza utaratibu wa kizuizi cha wahamiaji Australia
- Autor: Vários
- Narrador: Vários
- Editor: Podcast
- Duración: 0:10:51
- Mas informaciones
Informações:
Sinopsis
Utawala wa mamlaka ya uhamiaji wa Australia unachunguzwa na Umoja wa Mataifa wiki hii. Kikundi Kazi cha U-N juu ya Kuzuia Kiholela uhuru kinachunguza jinsi nchi hiyo inavyonyima watu uhuru wao - kutoka magereza hadi vituo vya vizuizi vya nje ya mipaka. Na kwa watu kama Muhammad, ambaye alizuiliwa kwa miaka sita, uchunguzi huu ni kitu kilichochelewa kwa muda mrefu.